Tausi Lyrics (Swahili & English) : Tausi is African Song (Swahili) from the Album “Tausi” sung by Mrisho Mpoto & Mbosso. Tausi Song produces by Mocco. Tausi Lyrics were written by Mbosso & Mocco.
Tausi Song Credits
Song: Tausi
Singer: Mrisho Mpoto & Mbosso
Music: Mocco
Lyrics: Mbosso & Mocco
Album: Tausi (2022)
Label: Mbosso
Genre: African Songs
Mrisho Mpoto X Mbosso – Tausi Video
Tausi Lyrics in Swahili
Tausi wewee
Tausi wee
Karibu tausi uipambe nyumba yetu
Tausi wewee
Tausi wee
Mpendwa tausi kwa yangu mwana kwetu
Chanua mbawa zako (tausi)
Waiyone rangi yako (tausi)
Mpole sauti hiyo ndiyo sifa yako (tausi)
Chanua mbawa zako (tausi)
Waiyone rangi yako (tausi)
Jichunge tausi wasinyofee nyowa lakoKaribu tausi
Karibu sana tausi
Mchezo uliotukuta nao ni wa sadakalawe amina
Mwenye kupata apate mwenye kukosa akose
Kipo patiwa cha kuku kukali mweusi analiaje kwiyokwiyo
Mpaka lini mwenye kupata apate
Mpaka lini mwenye kukosa akose asante tausi
Umeukataa mlio wa kwiyo na rangi ya kuku kugawana
Tausi harufu unayo isikia ni ya chakula walichokula
Wameamua tu kujisaidia nyuma ya nyumba
Ii harufu irudi ndani kumchefua mpishi
Usishtuke ndivyo ilivyo kwa watu wenye shibe
Tausi umbo lenye kukataa huleta tumawe mawe
Unapotaka kututambulisa watoto wako kwa wageni
Tumia idadi yetu na sio ajira maana baadhi ya wanao wanatumia aka
Siku hizi watakufuga kumbuka njika la kuni ni fungato lilo
Fungwa kwa mkazo halipaswi kumumiza mubebaji
Karibu tausiTausi wewee
Tausi wee
Karibu tausi uipambe nyumba yetu
Tausi wewee
Tausi wee
Mpendwa tausi kwa yangu mwana kwetu
Chanua mbawa zako (tausi)
Waiyone rangi yako (tausi)
Mpole sauti hiyo ndiyo sifa yako (tausi)
Chanua mbawa zako (tausi)
Waiyone rangi yako (tausi)
Jichunge tausi wasinyofee nyowa lakoTausi mimi mwanao baada ya kutoka jandoni
Nilidhani mimi ni mkubwa sasa naambiwa ooh
Icha kilichotolewa nikipande cha ngozi tu
Hakina mahusiano na kukua kwako
Kweli ina maana kila anaye ingiza kidole puani
Ana mashaka na alicho nusa uliwai kusema we mwenyewe mnyonge
Hapigani kwa fedha na tulifanya makosa kuchagua silaha
Silaha tulio ichaguwa inatutia unyonge na kuondowa unyonge
Kwa kutumia silaha ya wenye nguvu ambazo sisi hatuna
Tunazidi kupoteka muda muda huu
Wa sisi kukua au nyakati
Tausi nimeamini asie ona anakutumia
Jucho usiku sio kwa ajiri yake
Anawamulikia wanao ona ili wasimkanyage
Nah ii hii yote tausi lazima ioze
Kila mwenye zamu yake asiwache kumwagiliaViroboto kupe huretaga virusi tausi
Ukuta mweupe wasiufanye mweusi tausiTausi wewee
Tausi wee
Karibu tausi uipambe nyumba yetu
Tausi wewee
Tausi wee
Mpendwa tausi kwa yangu mwana kwetu
Chanua mbawa zako (tausi)
Waiyone rangi yako (tausi)
Mpole sauti hiyo ndiyo sifa yako (tausi)
Chanua mbawa zako (tausi)
Waiyone rangi yako (tausi)
Jichunge tausi wasinyofee nyowa lako

Tausi Lyrics in English
Peacock you
Peacock wee
Welcome to the peacock and decorate our house
Peacock you
Peacock wee
Dear peacock for my son to us
Spread your wings (peacock)
See your color (peacock)
Gentle that sound is your attribute (peacock)
Spread your wings (peacock)
See your color (peacock)
Beware of peacocks that do not dry your hairWelcome to the peacock
Very welcome peacock
The game you found us with is a sadakalawe amen
The one who finds may find the one who is missing
There is a gift of a black chicken that looks like it
Until the one who finds it finds
How long will the missing one thank you peacock?
You have rejected the cry of the chicken and the color of the chicken to share
The peacock smell you hear is from the food they ate
They just decided to help themselves to the back of the house
The smell returned to irritate the cook
Do not be surprised if that is the case with people who are full
Rejection-shaped peacocks bring stones
When you want to introduce your children to strangers
Use our numbers and not jobs because some of the kids are using aka
These days they will feed you remember the woodpecker is a fungato that
Tightly closed should not hurt the carrier
Welcome to the peacockPeacock you
Peacock wee
Welcome to the peacock and decorate our house
Peacock you
Peacock wee
Dear peacock for my son to us
Spread your wings (peacock)
See your color (peacock)
Gentle that sound is your attribute (peacock)
Spread your wings (peacock)
See your color (peacock)
Beware of peacocks that do not dry your hairPeacock I am your son after leaving jandoni
I thought I was great now I am told ooh
Leave it on with just a piece of leather
It has nothing to do with your growth
It really means everyone who puts their finger in the nose
He is skeptical of what he was about to say to himself
He is not fighting for money and we made the mistake of choosing a weapon
The weapon we have chosen is weakening us and removing the weakness
By using powerful weapons that we do not have
We are increasingly wasting time this time
Of us growing up or times
Peacock I believe he does not see him using you
Jucho night is not for his employment
He enlightens those who see so that they do not trample him
Nah ii all this peacock must rot
Let every one that is in the field not turn back for waterFleas fleas infect the peacock virus
White wall should not be made black peacockPeacock you
Peacock wee
Welcome to the peacock and decorate our house
Peacock you
Peacock wee
Dear peacock for my son to us
Spread your wings (peacock)
See your color (peacock)
Gentle that sound is your attribute (peacock)
Spread your wings (peacock)
See your color (peacock)
Beware of peacocks from scratching your hair